Marehemu Mh. Regia Mtema, sisi wanawake Live tutakukumbuka daima, ulitusupport kwa hali na mali pale tulipokuhitaji,hakika Taifa limepoteza Mwanamke mpambanaji hususani Wanawake na watu wenye ulemavu. Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi.Ameen
Super Woman Joyce Kiria akisisistiza jambo ndani ya wanawake live show
From left Mboni Masimba a.k.a Kim K wa Bongo, Hilda Mallomo, Janeth Sinda and Super Woman mwenyewe Joyce Kiria ndani ya Wanawake Live.
Kim Kardashian wa Bongo, Akifunguka bila kificho ndani ya show.
Mjasiriamali ndani ya show.
Tabasamu muhimu mjasiriamali akijiachia kwa raha zake.kucheka kunaongeza siku za kuishi.
Super Duper Woman Joyce kiria akisisitiza jambo ndani ya show.
Warembo wakiwa wanasikiliza kwa umakini ndani ya wanawake live.
Jambo likieleweka pozi kama hizi ni kawaida kuja automatically.
Janeth sinda akisisitiza jambo huku Hilda akimsikiliza kwa umakini.
Vicheko ni kawaida ndani ya show ya Wanawake live,unataka kujua why they lough? dont miss out leo usiku.
Umakini ni muhimu pale maongezi yanapokolea so watch out leo usiku.
Usikose kutazama show leo saa tatu kamili usiku ndani ya EATV.
Tuko Pamoja Joyce
Asanteeeee tuko pamoja.
Jamani kipindi kilikuwa kizuri sana Joy
Mungu akutie nguvu katika kumsaidia mwanawake kujikomboa
Ok asante sana Faith endelea kutazama Wanawake Live mambo mengi mazuri yataendelea kuja katika screen yako.
niliipenda maada ile mbaya big up Joyce
Dada Joyce kwa kweli wewe ni mwanamke wa pekee hongera sana dada yangu for sure i ril admire you and i promise nitafuata njia yako nitafanikiwa licha ya kuwa sina hata sent lakini nakuambia umenionyesha njia kama mwenye macho anavyomwongoza kipofu.
Stay blessed THE SUPER DUPER WOMAN kioo cha wanawake.
Hongera sana na tuko pamoja!
Hakika tumepoteza mwanamke wa ukwel.Mungu ailaze roho yake mahal pema peponi. Amen! “Roho za waumini marehemu wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa aman na bwana wajalie pumzko la milele!”
joyce kipindi chako ni kizuri sana, ila sasa hao wageni wengine wanaokuja mwe, kama mboni masimba aliua sana na kiinglish chake MY FRIEND OF MINE uwiii niliishia kucheka na kuguna, tu, angeongea kiswahili ingekuwaje kwani? nakumbuka yale ya maigizo ya bongo ya kaka mtunisi TO BE HONEST GO HOME, sehemu ambayo haikutakiwa kuwepo mwe, haya kila la kheri mamito
jamanii si tunajifunza humuhumu mpz…..usjali sana asante kwa sapot lv